Head image
Govt. Logo

Hits 35473 |  6 online

     

TANGAZO KWA MAIMAMU WOTE WA ZANZIBAR.

Posted: 2020-03-09 05:18:47
Assalama alaikum

Ofisi ya Mufti wa Zanzibar INAWAJUILISHA MAIMAMU WOTE kuwa wanaombwa walete Qunuti katika salaa ili Allah atunusuru na janga hili la maradhi haya ya Corona yalioingia takriban ulimwenguni kote.

Pia ofisi ya Mufti wa Zanzibar katika kikao chake na waandishi wa habari iliwasisitiza wananchi wote kufuata miongozo na maelekezo ya wataalamu wa afya katika kuchukua tahadhari juu ya maradhi haya ya Corona "hasa katika kipindi hichi" ikiwemo kuwacha kupeana mikono na badili yake wasalimiane kwa kauli tuu.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz