Head image
Govt. Logo

Hits 27142 |  3 online

     
Wizara imeendelea na jukumu lake la kuratibu na kusimamia utekelezaji wa miongozo mbalimbali
news phpto

MKURUGENZI SERA MIPANGO NA UTAFITI BI DAIMA .M. MKALIMOTO

MKURUGENZI SERA MIPANGO NA UTAFITI BI DAIMA .M.MKALIMOTO

Wizara imeendelea na jukumu lake la kuratibu na kusimamia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ikiwemo sera, sheria na kanuni ambapo kwa kipindi hiki imekamilisha matayarisho ya kuanzishwa kwa Jukwaa la pamoja la wadau wa sekta ya sheria (JSF), imeandaa rasimu ya Sera ya Skuli ya Sheria na kuitafsiri kwa lugha ya Kiswahili. Ni imani yetu kwamba sera hii itatoa muongozo madhubuti wa uendeshaji wa Skuli ya Sheria Zanzibar. Kazi mbili hizi ni mchango kupitia washirika wa maendeleo UNDP chini ya Mradi wa Kuimarisha Uwezeshaji wa Kisheria na Upatikanaji wa Haki (Legal Empowerment and Access to Justice Project - LEAP). Wizara pia imefanya mapitio pamoja na kuandaa Sheria mbalimbali zikiwemo Sheria ya Jumuiya ya Mawakili Zanzibar, Sheria ya Mawakili, Sheria ya Mufti na Sheria ya Skuli ya Sheria.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz