Head image
Govt. Logo

Hits 27137 |  2 online

     
Idara ya Msaada wa kisheria kwa Kushirikiana na taasisi ya PIRO imekusanya maoni ya wadau mbali mbali
news phpto

Idara ya Msaada wa kisheria kwa Kushirikiana na taasisi ya PIRO imekusanya maoni ya wadau mbali mbali

Wizara ya Katiba na Sheria kupitia Idara ya Msaada wa kisheria kwa Kushirikiana na taasisi ya PIRO imekusanya maoni ya wadau mbali mbali wakiwemo Mahakama, Polisi, Chuo cha Mafunzo, Vyuo vya Elimu na Wizara ya Elimu, Watowaji wa huduma za Sheria, Wanasheria, Taasisi zisizo za Kiserikali za watowa Huduma za Msaada wa Kisheria na kuupitia mtaala na muongozo wa kufundishia Wasaidizi wa Sheria. Mkutano huo umefanyika Pemba katika Ukumbi wa Baraza la Mji Chake Chake

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz