Head image
Govt. Logo

Hits 27741 |  3 online

     
Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe George J. Kazi akipokea zawadi maalum
news phpto

Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe George J. Kazi akipokea zawadi maalum kutoka Afisa Sheria Bi Amina Mzee kwa niaba ya Wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar ikiwa ni pongezi maalum na kumtakia majukumu mema kufuatia uteuzi wa aliekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria ambae kwa sasa ni Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar . Hafla hio imefanyika katika viwanja vya jengo la Sheria House lililoko Mazizini

Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe George J. Kazi akipokea zawadi maalum kutoka Afisa Sheria Bi Amina Mzee kwa niaba ya Wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar ikiwa ni pongezi maalum na kumtakia majukumu mema kufuatia uteuzi wa aliekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria ambae kwa sasa ni Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar . Hafla hio imefanyika katika viwanja vya jengo la Sheria House lililoko Mazizini

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz