Head image
Govt. Logo

Hits 27801 |  2 online

     
Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba Mhe Mattar Zahor Masoud akila kiapo cha Utii mbele ya Rais wa Zanzibar
news phpto

Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba Mhe Mattar Zahor Masoud akila kiapo cha Utii mbele ya Rais wa Zanzibar.

Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba Mhe Mattar Zahor Masoud akila kiapo cha Utii mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt Hussein Mwinyi , Kabla uteuzi huo Mhe Mattar alikuwa ni Afisa Mdhamin Wizara ya Katiba na Sheria katika awamu ya 7. Uongozi na Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora unamtakia kheri Baraka na Mafanikio katika kutekeleza majukumu yake ya Kazi kwa kila hatua .

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz