Head image
Govt. Logo

Hits 26979 |  2 online

     
Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Utawala Bora na Idara Maalum za SMZ wa Baraza la Wawakilishi Mhe Machano Othman Said amesema wananchi wanategemea sana wanasheria katika kupata haki zao
news phpto

Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Utawala Bora na Idara Maalum za SMZ wa Baraza la Wawakilishi Mhe Machano Othman Said amesema wananchi wanategemea sana wanasheria katika kupata haki zao hivyo ni vyema kwa mawakili wakafuata taratibu zilizowekwa katika mswada huo ili kuepusha migongano kati ya wateja wao na Serikali .

Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Utawala Bora na Idara Maalum za SMZ wa Baraza la Wawakilishi Mhe Machano Othman Said amesema wananchi wanategemea sana wanasheria katika kupata haki zao hivyo ni vyema kwa mawakili wakafuata taratibu zilizowekwa katika mswada huo ili kuepusha migongano kati ya wateja wao na Serikali .

Aidha Machano ameipongeza Wizara ya Katiba na Sheria ambapo amesema kasi iliyopo hivi sasa ni nzuri kulinganisha na wakati wa nyuma “huko nyuma kulikuwa na miswaada ya muda mrefu hivyo hongereni kuona tunakwenda na wakati” alisisitiza

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz